EP hii ina nyimbo 6, zinazobeba mchanganyiko wa muziki wa Singeli, Bongo Fleva, Mchiriku, na ladha ya Afro-Urban. Msomali anazungumza kwa hisia kali kuhusu maisha ya kawaida, mapenzi ya mitaani, changamoto za kifamilia na uchungu wa kuachwa – yote kwa lugha ya Kiswahili safi na beat kali.
1: Msomali – Nipo South Africa | Download
2: Msomali ft. Don breezy – Anitaki | Download
3: Msomali – Mapenzi Yananitesa | Download
4: Msomali – Tumeachana | Download
5: Msomali – Ex Kanitukana | Download
6: Msomali – Imba | Download

