Blog

EP | Msomali – Vitamini Music


EP hii ina nyimbo 6, zinazobeba mchanganyiko wa muziki wa Singeli, Bongo Fleva, Mchiriku, na ladha ya Afro-Urban. Msomali anazungumza kwa hisia kali kuhusu maisha ya kawaida, mapenzi ya mitaani, changamoto za kifamilia na uchungu wa kuachwa – yote kwa lugha ya Kiswahili safi na beat kali.


2: Msomali ft. Don breezy – Anitaki | Download


4: Msomali – Tumeachana | Download

5: Msomali – Ex Kanitukana | Download

6: Msomali – Imba | Download